Pages


WELCOME KILINDI COMMUNITY

Karibuni wanakilindi kweye Blog yetu mpya.Blog hii imetengenezwa kwaajili ya kuwakutanisha wanakilindi pamoja na kupanga mikakati thabiti inayohusu namna ya kuleta maendeleo kataka wilaya ya Kilindi.

Monday, January 30, 2012

TANGAZO KWA WANAKUSO


Wewe kama m'moja wa wanakuso unafahamishwa kuwa mwanakuso mwenzetu( NANCY SEMHINA) amepatwa na msiba kwa kuondokewa na baba yake usiku wa kuamkia tarehe 30/01/2012,hivyo basi wewe kama mwanakuso mchango wako wa rambirambi unahitajika.

No comments:

Post a Comment